Lyrics > Maandy – Naskia Fiti Lyrics

Maandy – Naskia Fiti Lyrics

Maandy - Naskia Fiti
Screengrab, "Naskia Fiti" by Maandy, YouTube.

Listen and read Maandy – Naskia Fiti Lyrics on Doba KE.

Continuing her dancehall-influenced music streak, Maandy and frequent collaborator Metro Suka Doba link up yet again on “Naskia Fiti.”

“Naskia Fiti” follows “Senke,” which was released in May.

Read Maandy – Naskia Fiti Lyrics

[Intro]

Kabaya
Eyo Metro Suka Doba

[Chorus]

Naskia kuseti, naskia kubleki
Naskia kuzitoka dogo siketi
Naskia kumedi, naskia amazing
Naskia tu fiti, naskia tu eazy

Naskia kuseti, naskia kubleki
Naskia kuzitoka dogo siketi
Naskia kumedi, naskia amazing
Naskia tu fiti, naskia tu eazy

[Post-Chorus]

Uh-uh, naskia tu fiti
Uh-uh, naskia tu fiti
Uh-uh, naskia tu fiti
Uh-uh, naskia tu fiti

[Verse 1]

Oya chargie, songa na mimi
Zero shapre manze jasho ni ya nini?
Uh-huh, uh-huh, moshi ni ya nini?
Maforeign organic, ma various na kidri

Niko na pake, mashillings
Na zikishika usiadisie na mafeelings
Unaletanga ngori na vibration ni ya healing
Rusha mabega ntakufunza hadi lini?

[Refrain]

Kama zimeshika mi nakam (mi nakam)
Nalenga huyu chali akajam (amejam)
Mi nakunywa Gin staki Rum (staki rum)
Ntagawa juu ni yangu unang’am? (unang’am)

[Chorus]

Naskia kuseti, naskia kubleki
Naskia kuzitoka dogo siketi
Naskia kumedi, naskia amazing
Naskia tu fiti, naskia tu eazy

Naskia kuseti, naskia kubleki
Naskia kuzitoka dogo siketi
Naskia kumedi, naskia amazing
Naskia tu fiti, naskia tu eazy

[Post-Chorus]

Uh-uh, naskia tu fiti
Uh-uh, naskia tu fiti
Uh-uh, naskia tu fiti
Uh-uh, naskia tu fiti

[Verse 2]

Ushai amka na hutaki mambo mingi
Ushai amka ukapiga shots mbili
Puff puff, alafu munchies hivi
Tafuta mbogi manze leo ni maraundi

Staki stress ah ah, staki mapressure
Wapi Mary, Njeri leo mi natoka nje kutesa
Mbuda flani Thika road, manze pesa inamuwasha
Dom Pérignon anasema hatabuy ma Vodka

[Refrain]

Kama zimeshika mi nakam (mi nakam)
Nalenga huyu chali akajam (amejam)
Mi nakunywa Gin staki Rum (staki rum)
Ntagawa juu ni yangu unang’am? (unang’am)

[Chorus]

Naskia kuseti, naskia kubleki
Naskia kuzitoka dogo siketi
Naskia kumedi, naskia amazing
Naskia tu fiti, naskia tu eazy

Naskia kuseti, naskia kubleki
Naskia kuzitoka dogo siketi
Naskia kumedi, naskia amazing
Naskia tu fiti, naskia tu eazy

[Post-Chorus]

Uh-uh, naskia tu fiti
Uh-uh, naskia tu fiti
Uh-uh, naskia tu fiti
Uh-uh, naskia tu fiti

MAANDY – NASKIA FITI

Stay tuned to Doba KE for more news, music, lyrics, and updates. Remember to follow us on our social media channels.

Similar Posts