Sewersydaa – C-4/Usiforce Lyrics

Listen and read Sewersydaa – C-4/Usiforce Lyrics on Doba KE.
“C-4/Usiforce” is off Sewersydaa’s Mauru Unit album and was produced by Ares66.
Read Sewersydaa – C-4/Usiforce Lyrics
Big Beatz Afriq
[Verse 1]
Nasound vibaya kama guitar imekatika string
Watu wamewaka mbaya hadi wanakaa walking Christmas tree
Tuko tired of hii shit, doci pia ni msick
Lala nayo na hio v ni ka unahepa police
Okay, I got four fuckin’ phones na ukinicall niko mteja
Scratch hadi bones unadeal na mateja
Stone after stone ni kaa nabuild kakeja
Mi ni ka Don Corleone ukinitry hautapenda
Vituko juu ya vitu tuko hadi tunajipata Tuko
Soma kaa bookworm, hii life haina coupon
Ka ina ganji tupo na kaa haina ganji hatupo
Wana mikono refu hakuna sleeve inawatoshea
Kuna biz naotea, ni kudingling ngojea
Niko on my way up na wana-stare za kunibondea
Wathii kuna monclair
Mimosa so ka unapitia from ocha make sure you stop there
Yoh!
[Hook]
Yoh, vitu hutoka kwa C1 yangu, ni ma-C4
Nani wanaingia kwa stu bila hata four
Ka umeshikwa mi siko usikubali ku-talk
Toka hapa unakaa umeanza ku-force
Vitu hutoka kwa C1 yangu, ni ma-C4
Nani wanaingia kwa stu bila hata four
Ka umeshikwa mi siko usikubali ku-talk
Toka hapa unakaa umeanza ku-force
[Verse 2]
Ukinicross, unagenya
Ushaanza ku cross-dress, umekuwa Semenya
Monday ni mbwenya, mkadinali by tenure
Hamnitaki mi menace, kuforce tuliachia Terence
Tunarap hii si tennis, kupost post ya nini?
Crap sipendi, ku-joke bro si mimi
Tunacheza golf kwa court ya Bake, na mafans ni wa cricket
System haitaki tu-picket
Kwa ujinga usiniingize, weekend inaanza Wednesday
Team building with my teammates
Ka kuna siku nataka ifike, tirries Tuesday
Okay so back to today, nauliza who is dealing with this bitch
Who’s dealing with this shit?
Adulthood ni scam, nani aliniambia ni-come
Rong rende ndio stamp, iadisie kwa amp
Acha tu za ku-run tusikuwe na za ki-cunt
Unajua nini inafanyakinga kwa watu wana-rat
[Hook]
Yoh, vitu hutoka kwa C1 yangu, ni ma-C4
Nani wanaingia kwa stu bila hata four
Ka umeshikwa mi siko usikubali ku-talk
Toka hapa unakaa umeanza ku-force
Vitu hutoka kwa C1 yangu, ni ma-C4
Nani wanaingia kwa stu bila hata four
Ka umeshikwa mi siko usikubali ku-talk
Toka hapa unakaa umeanza ku-force
Vitu hutoka kwa C1 yangu, ni ma-C4
Nani wanaingia kwa stu bila hata four
Ka umeshikwa mi siko usikubali ku-talk
Toka hapa unakaa umeanza ku-force
Vitu hutoka kwa C1 yangu, ni ma-C4
Nani wanaingia kwa stu bila hata four
Ka umeshikwa mi siko usikubali ku-talk
Toka hapa unakaa umeanza ku-force
Produced by: Ares66
Did you enjoy Sewersydaa’s “C-4/Usiforce” Lyrics? Listen and read more Kenyan Music Lyrics on our lyrics page.
Stay tuned to Doba KE for more news, music, lyrics, and updates. Remember to follow us on our social media channels.