Lyrics > Femi One – Utawezana Lyrics Ft. Mejja

Femi One – Utawezana Lyrics Ft. Mejja

Femi One - Utawezana Lyrics Ft. Mejja
[Intro]

Femi, ndo ule Mejja, ndo ule Mejja
Si ulikuwa unadai kuchapiana naye
Ishia, ishia, ishia 

[Verse 1]

Okonkwo pole nimekuja ghafla (usijali)
Ni vile we hukuwa umenibamba
Aah, Femi One pia kwangu we ni msoo
Kwanza vile ulituosha kwa ile verse ya ‘Ligi Soo’, eeh 

Nakupenda manze we hukuwa mhumble (asante)
Legend, kwangu we ni icon
Aah, stori za icon kwanza weka mbali
Femi One mi hukuwa nimekutamani

Eeh, Okonkwo umeanza kunichocha (ah, zii)
Nishow ni wapi uliniona
Aah, Femi One (eeh), we unibamba
Kwa Instagram nikicheki izo mapaja, ah 

[Chorus]

Okonkwo na kitambi utawezana? (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler

Okonkwo na kitambi utawezana? (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler

[Verse 2]

Iko haga yako iko
Naipenda ka mke nyumbani na mwiko
Mejja umeanza kuniflirt, aah
Unataka kunikula kama plata

Hiyo kifua nataka kuichambua
Mi nataka kukulamba mpaka ushindwe kupumua, ah
Kidesign umeanza kunibamba
Nikikupea usiende kutangaza

Ah, hiyo ni siri (wazi) ka pin number
Sitaambia mtu sitaambia hata King Kaka
Haina noma leo utanikula
Lakini ka ni ndogo usishinde ukikuja (aah)

[Chorus]

Okonkwo na kitambi utawezana? (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler

Okonkwo na kitambi utawezana? (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler

[Verse 3]

Napenda machali wako na swagger (okay)
Nikicheki fashion yako hapana
Femi One hao machali looku looku
Ni looku tu lakini hawana kakitu

Ah, nataka kurombosa hadi chini
Ah, nataka kuikota huko chini
Ah, napenda kupakua nikiwa juu
Ah, siteti, napenda hiyo view

Fungua bonnet (okay) toa screw (Aha)
Mbona unanidai na usiniambie uongo
Ah, nakudai juu umetoka ghetto
Na we ni manzi hardcore manzi mathongo 

[Chorus]

Okonkwo na kitambi utawezana? (Nitawezana)
Nikikupea utawezana? (Nitawezana)
Manze Femi One nikikupata
Nitakupenda ka vile napenda tumbler, ah 

[Outro]

Femi Uno
Mtoto wa Hadija, haha

Similar Posts