SewerSydaa – Mbwenya Lyrics
Listen and read SewerSydaa – Mbwenya Lyrics on Doba KE. Off his album Mauru Unit, on the song, he narrates a story about crime in the ghetto.
“Mbwenya” is a sheng word that means a blazer coat. In the song’s context, criminals hide guns in coat pockets and unleash them when it’s time to commit crimes.
Read SewerSydaa – Mbwenya Lyrics
[Chorus]
Zilishika akazima tukadhani amegenya
Mbleina, kumbe amerenga
Mbleina, kumbe amerenga
Mbleina, kumbe ame—
Ziliwika tukakacha tukawacha wakisema
Ndeng’a, hauzificha kwa mbwenya
Ndeng’a, hauzificha kwa mbwenya
Ndeng’a, hauzificha kwa—
[Verse 1]
White si huficha hatuongenangi na tenant
Hot dry neck hatuvaangi ma-pendant
Show ni watu walikuja kuniona si Rema
Renderiwa useless naskia ati uliuza pena
Uko jela juu uko jealous na plus we ni sell-out
Once you’re out stay out lakini we ni jailbird
From beggar to Maybach, ki-Hushpuppi in laymans
Laidback huezi jua nimedoz na kiRayban
Fraud za karatasi delete ilikuwa whitewash
Beef tunaimalisa clean Kiamaiko
Hatuflow kwa karatasi tunatumianga iPhone
Zip kaa hutrust yenye umeona na maitho
We uliona nini, unajionanga Whit Snow
Unasema ule mwizi mtall ndio alijicock
Police kwa stop akampata akipop
O.D on coke akanose bleed kwa nose
[Chorus]
Zilishika akazima tukadhani amegenya
Mbleina, kumbe amerenga
Mbleina, kumbe amerenga
Mbleina, kumbe ame—
Ziliwika tukakacha tukawacha wakisema
Ndeng’a, hauzificha kwa mbwenya
Ndeng’a, hauzificha kwa mbwenya
Ndeng’a, hauzificha kwa—
[Verse 2]
Bado wako nyuma yangu kaa Aide de camp
Ivo ivo niliwashow wastick kuwa fans
Uli-zeni kiatu kaa Hart The Band
Vile nimetembea hii Kenya nikisearch for funds
Nas till at all nikastick to rap
Hasira ya Njoro ikamuambia peace ni gun
Casting on demand na ametoka tu remand
Akachukua piece kuingia round stop ya kwanza kwa Brown
Akasmoke kwanza kiLoud before acheki around
Kwa pori ana ki-pound anafaa ajaze amount
Ya bond yenye jajiko alimgongea and then he’s out
Hesabu zinagongana hakuna venye anaeza bounce
Time is of the essence, ni a-act asikae suspect
Witness ni ati alazwe kabla hajamuitia sanse
Hio sauti ni loudest bas kila mtu akache
Kumbe nyuma Probox, imejaa ma afande
[Chorus]
Zilishika akazima tukadhani amegenya
Mbleina, kumbe amerenga
Mbleina, kumbe amerenga
Mbleina, kumbe ame—
Ziliwika tukakacha tukawacha wakisema
Ndeng’a, hauzificha kwa mbwenya
Ndeng’a, hauzificha kwa mbwenya
Ndeng’a, hauzificha kwa—
Did you enjoy Sewersydaa’s “Mbwenya” Lyrics? Listen and read more Kenyan Music Lyrics on our lyrics page.
Stay tuned to Doba KE for more news, music, lyrics, and updates. Remember to follow us on our social media channels.
