Lyrics > Lilmaina – Unapose Lyrics Ft. Ajay & Boutross

Lilmaina – Unapose Lyrics Ft. Ajay & Boutross

Lilmaina - Unapose Lyrics Ft. Ajay & Boutross
L-R: Boutross, Lilmaina & Ajay

Listen and read Lilmaina – Unapose Lyrics Ft. Ajay & Boutross on Doba KE.

After teasing the song on social media for weeks, Lilmaina released “Unapose.”

This track marks the trio’s first collaboration and follows August’s “Tonight Remix” with Nikita Kering. The three come clutch on the verses on this certified banger.

Read Lilmaina – Unapose Lyrics Ft. Ajay & Boutross

[Intro]

Mmmh, mmh, mmh
Stunna man
Mmmh, mmh, mmh
Stunna man
Mmmh, mmh
Kwanza napenda unavyo pose
Mmmh, mmh, mmh (krrrrr)
Stunna man
Mmmh, mmh, mmh (krrrrr)
Stunna man
Mmmh, mmh

JK Beats on it

[Verse 1: Lilmaina]

Kwanza na- kwanza napenda unavyo pose
Cheki mwili yako baby bado unaglow
Niaje unaamka sisi bado tujadoz
Sipotezi wakati niko na yo-yo-yo, wo-wo, wo-wo

Kwanza napenda unavyo pose
Cheki mwili yako baby bado unaglow
Niaje unaamka sisi bado tujadoz
Sipotezi wakati niko na yo-yo-yo, wo-wo, wo-wo, wo-wo, wo-wo

[Chorus: Lilmaina]

Venye wa-curse kawaida, naeza kuseti, ki sensi mi na—
Na unafanya nasahau hadi jina, waitwa nani, mi Bonita
Venye wa-curse kawaida, naeza kuseti, ki sensimilla
Na unafanya nasahau hadi jina, waitwa nani, mi Bonita

[Verse 2: Lilmaina]

There’s no pretending, na kama uko na beef ntawapatia veggies
Waambie kama battery niko ever ready
Nashika paka power mambo yangu wavy, baby, kweli—
Na usinidanganye uko fine mama

Wasikuguze wakijaribu hio ni lawama
Naona chuki huku pekee ndio inawasha na—
Mavijana, wanataka ati drama ma
Nipee location nakuambia tukipatana

[Verse 3: Ajay]

Ntakupeleka na rada tukilinki
Najua pia unapenda vitu kinky
Hizo ndio tabia unapenda ukiwa machingri
Ni bad gyal, ako na degree

Ameenda chuo rada zake huwezi soma
Manigga wanadai kujua ka nishai gonga
I don’t kiss and tell nilikuwa tu namchoma
Za ex wake hazikuwanga na aroma

Ananijazz, hachoke na hio moshi ni strong
Ananijazz, hachoke na hio kitu ni long
Anadai, nimrecord lakini sura nicrop
Venye naishanda mi ni ka King Von

Ananijazz, hachoke na hio moshi ni strong
Ananijazz, hachoke na hio kitu ni long
Anadai, nimrecord lakini sura nicrop
Venye naishanda mi ni ka King Von

[Chorus: Lilmaina]

Venye wa-curse kawaida, naeza kuseti, ki sensi mi na—
Na unafanya nasahau hadi jina, waitwa nani, mi Bonita
Venye wa-curse kawaida, naeza kuseti, ki sensimilla
Na unafanya nasahau hadi jina, waitwa nani, mi Bonita

[Verse 4: Boutross]

Napendanga beef naipiga kiss
Gin ikijitoa utanimiss
Kitu ni sucrose nice, kitu ni sweet
Piga kitu stick all night a-conceive

Ako na discipline ju ako na nini?
Ako na boyfriend ako na rizz
Ako na mystery yaani mysterious
Ako na boyfriend, ako na me

Yeah, maanake atume late unadoz
We nionyeshe ID mi staki jokes
Location private, boss—
Usikuwe mnosy joh hii bash si ya manose

Inageuzwa once alafu pause
Ikiturn unalost
Inachanganya the young and the old
The tough and the bold, now if you must know

[Chorus: Lilmaina]

Venye wa-curse kawaida, naeza kuseti, ki sensi mi na—
Na unafanya nasahau hadi jina, waitwa nani, mi Bonita

[Refrain: Lilmaina]

Kwanza napenda unavyo pose
Cheki mwili yako baby bado unaglow
Niaje unaamka sisi bado tujadoz
Sipotezi wakati bado niko na yo-yo-yo, wo-wo, wo-wo

Kwanza napenda unavyo pose
Cheki mwili yako baby bado unaglow
Niaje unaamka sisi bado tujadoz
Sipotezi wakati bado niko na yo-yo-yo, wo-wo, wo-wo, wo-wo, wo-wo

[Outro]

Mmmh, mmh, mmh
Mmmh, mmh, mmh
Mmmh, mmh
Mmmh, mmh, mmh
Stunna man
Mmmh, mmh

UNAPOSE LIL MAINA X AJAY X BOUTROSS

Produced by: jk beats

Mixed and mastered by: Aress 66 & Soundkraft


Did you enjoy Lilmaina featuring Ajay & Boutross’ “Unapose” Lyrics? Listen and read more Kenyan Music Lyrics on our lyrics page.

Stay tuned to Doba KE for more news, music, lyrics, and updates. Remember to follow us on our social media channels.

Similar Posts